Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Fid Q atunukiwa Tuzo ya Heshima

9366 Z Fid Q Tuzo Bongo5 Pix TZW

Mon, 18 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Mkali wa muziki wa hip hop Bongo, Fid Q ametunukiwa tuzo ya heshima.



Tuzo hiyo ni kutokana na kuiwakilisha vyema Kanda ya Ziwa kupitia muziki wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

Jana nimepokea Tuzo ya heshima ya kuwakilisha Vyema kanda ya Ziwa kupitia muziki toka kwa wataalam wa masuala ya mazingira waitwao Kijani Consult Tanzania.

Taasisi, kampuni, wadau n.k wamekuwa wakitambua mchango wa Fid Q katika muziki na uzito wa jina lake. Utakumbuka April 30, 2018 aliteuliwa na Chama cha Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania (TUMA) kuwa Mwenyekiti wa kamati ya fedha, mipango na uchumi.

Loading...
Chanzo: bongo5.com