Menu ›
Burudani
Sun, 12 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Prodyuza wa muziki Bongo, Master J amesema Ferooz ni miongoni wa wasanii Bongo waliokuwa na magari makali.
Kauli ya Master J inakuja wakati akimjibu shabiki mmoja Facebook aliyehoji kitendo cha yeye kumiliki gari lake la kwanza mwaka 1997 wakati wasanii hawana.
"Unaongea nini dogo kuna msanii alikuwa na gari la bei mbaya kuliko Ferooz, Jeep? Sugu alikuwa na gari, Prof J alikua na gari, Lady Jay Dee alikuwa na gari, marehemu Ngwea alikua na gari n.k," alijibu Master J.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live