Menu ›
Burudani
Sun, 26 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa wasanii WCB, Yamoto Band na TMK Wanaume Family Mkubwa Fella amewasifia wasanii Harmonize na Rayvanny kumaliza tofauti zao lakini amewaambia kuwa kuungana kwao bado hawamuwezi Diamond Platnumz.
Meneja wa wasanii WCB, Yamoto Band na TMK Wanaume Family Mkubwa Fella amewasifia wasanii Harmonize na Rayvanny kumaliza tofauti zao lakini amewaambia kuwa kuungana kwao bado hawamuwezi Diamond Platnumz. Harmonize na Rayvanny wote wamewahi kupita lebo hiyo ya WCB na sasa hivi wanafanya kazi kwenye lebo zao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live