Menu ›
Burudani
Sun, 12 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya The African Princes @officialnandy ameamua kuonyesha jeuri ya pesa baada ya kusherehekea Birthday yake kwenye Ndege Binafsi.
@officialnandy ameonekana akiwa na mume wake @billnass mtoto wao pamoja na ndugu wengine.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live