Menu ›
Burudani
Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii kutoka Congo mkali wa Rumba, Fally Ipupa amekuja na mpango wakufanya ziara ya kuzunguka dunia nzima, hii ni baada ya zaira zake za hivi karibuni kuwa na mafanikio makubwa.
Ziara yake ya kwanza ilikua ya nchini Ufaransa mjini Paris ambapo alijaza ukumbi wa U-Arena na ya pili ilikua jijini London alizaja Wembley Arena.
Je ikitokea amekuja bongo unadhani show yake itafanyika wapi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live