Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Faiza kazungumza “Siongei na Sugu ila Sifurahii akipata matatizo”

1573 A2 660x400

Fri, 19 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kushikiliwa na Jeshi la Polisi na kufikishwa Mahakamani kwa kosa la uchochezi, Mzazi mwenzake Faiza Ally amezungumza na kusema haongei na Sugu lakini akipata matatizo hawezi kufurahia.

Kuhusu suala la mtoto wao Faiza Ally amesema kwamba Sugu anampenda mwanae na amemlipia ada japo amuhudumii kwenye vitu vingine na hiyo haisababishi yeye kutokuguswa na matatizo ambayo anayapata kutokana ni baba wa mtoto wake.

Bonyeza PLAY hapa chini kusikiliza FULL STORY..



Irene Uwoya “Kinachoniuma mwanangu amekosa Baba, Baba yake alikuwa na watoto wengi”



“January nimesurrender ” Aunt Ezekiel kafunguka Ugumu wa January

Chanzo: millardayo.com