Menu ›
Burudani
Tue, 13 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mfanyabiashara na muigizaji @iamfaizaally amemuweka msanii @malkiakaren kwenye tatu bora ya wanawake wazuri Bongo.
Mfanyabiashara na muigizaji @iamfaizaally amemuweka msanii @malkiakaren kwenye tatu bora ya wanawake wazuri Bongo. Aki-comment kwenye video ya Malkia Karen Faiza ameandika "We ni mzuri sina wa kukufanananisha nae Mimi Mars, ila katika bongo kati ya wanawake wazuri sana mdogo wangu uko kwenye Top 3".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live