Menu ›
Burudani
Fri, 23 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mzazi mwenziye Sugu, Faiza Ally amemchamba Diva thee Bawse kisa miwani na Wigi alilolivaa jana kwenye Harusi ya Mhasibu wa WCB, Don Fumbwe iliyofanyika Mlimani City.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshare picha ya Diva na Mume wake na kuisindikiza na ujumbe huu.
"Kama itakupendeza naomba nikutumie wigi na miwani yenye good quality kindly nipe address kiroho safi."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live