Menu ›
Burudani
Wed, 22 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Diva The Bawse; ni mtangazaji maarufu wa Wasafi ambaye kama kawaida yake ametoa nyingine kali.
Safari hii ameibua gumzo akidai kwamba huwa hatembei mchana kwa sababu macho yake ni kama ya mzungu, yakipigwa jua yanaumia.
Diva anasema; “Sitembei mchana kabisa kwa sababu nikitembea mchana naumia sana macho, unajua macho yangu ni kama ya mzungu, lakini yana matatizo kwa hiyo nikipigwa na jua sana ninaumia macho kabisa; yaani ni kama mtu ananimwagia ile dawa ya kwenye kidonda (iodine).”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live