Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Eric Omondi aachia parody ya ‘A Boy From Tandale’ ya Diamond

1513 22352020 728006054049668 2383974820879532032 N

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Albamu ya A Boy From Tandale ya Diamond ambayo imetajwa kutoka tangu mwaka jana inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa muziki kutokana na kile kilichosemwa kuwa baadhi ya wasanii wakubwa duniani watasikika ambapo wengine tayari wameshasikika akiwemo Rick Ross na Ne-Yo.



Wakati hilo likiwa linasubiriwa kwa hamu kubwa, mchekeshaji kutoka Kenya Eric Omondi ameona hilo linachelewa na kuamua kuleta parody ya albamu ya nyimbo hizo.

Katika parody hiyo Omondi ameweka nyimbo saba za msanii huyo ikiwemo ‘Nitareje’ aliyomshirikisha Hawa, ‘Mdogo Mdogo’, ‘Mbagala’, ‘Salome’ aliyomshirikisha Rayvanny, ‘Utanipenda’, ‘Sikomi’ na ‘Waka’ aliyomshirikisha Rick Ross.

Chanzo: bongo5.com