Menu ›
Burudani
Thu, 2 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Mandonga kufanyiwa mahojiano na kudai kuwa yeye ndiye kiboko ya mchekeshaji kutoka nchini Kenya, Eric Omondi hivyo akae kwa kutulia, msanii huyo maarufu Afrika Mashariki, ameibuka na kumjibu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Omondi ameandika; “Ambieni huyu Kijana mdogo mimi asiwahi nijaribu. Asiwai nizungumzia ama kunitaja. NITAMMALIZA mimi na hizo Mafuta amejaza Kwa mwili. Heshimu Rais Kijana????????????????
Huo ndio ujumbe wa Eric Omondi kwa Mandonga, unaonaje zichapwe??
Chanzo: www.tanzaniaweb.live