Menu ›
Burudani
Wed, 4 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa jarida la Forbes limemtangaza mmiliki wa kampuni ya X hapo mwanzoni ilikuwa ina tambulika kama Twitter Elon Musk kuwa tajiri namba moja nchini Marekani hivi sasa kwa mwaka 2023.
Kwa mujibu wa jarida la Forbes limemtangaza mmiliki wa kampuni ya X hapo mwanzoni ilikuwa ina tambulika kama Twitter Elon Musk kuwa tajiri namba moja nchini Marekani hivi sasa kwa mwaka 2023. Elon Musk hivi sasa ana utajijiri wa dola billion 251 na hiyo inamfanya kushikilia namba moja ya watu matajiri nchini Marekani kwa mwaka 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live