Menu ›
Burudani
Tue, 9 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Elon Musk hapoi, amegeuka kuwa mzee wa matamko tu. Jana alitoka hadharani na kutangaza kwamba atapitisha fagio na kuzisafisha/kuziondoa akaunti zote ambazo hazijatumika kwa muda mrefu.
Zoezi hilo litaanza hivi karibuni.
Hujaitumia akaunti yako ya Twitter kwa muda gani? Tuachie comment yako.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live