Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Edu Boy awataja Alikiba na Darassa kama washindani wakuu wa Diamond (+video)

Sun, 28 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Edu Boy amesema kipindi cha nyuma wasanii walikuwa wakihofia kutoa nyimbo kipindi kimoja na Diamond lakini sasa hivi hicho hakipo.

Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Tunasafisha’ amesema Alikiba na Darassa ni miongoni mwa wasanii ambao wanaweza kutoa ngoma kipindi kimoja na Diamond na zikafanya vizuri.

Chanzo: bongo5.com