Menu ›
Burudani
Fri, 28 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ebitoke; ni mchekeshaji na msanii wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ambaye anasema kuwa, yeye kuolewa hadi mwanaume awe na pesa si chini ya shilingi bilioni moja.
Ebitoke ambaye amekuwa akijinasibu kuwa, bado ni binti mbichi na hajaguswa na mwanaume anasema kuwa, anasema hivyo kwa sababu ya uzuri alionao ambao unaongezeka siku hadi siku.
Ameweka wazi kuwa, hiyo ndio sababu yupo singo kwani bado hajampata mwanaume mwenye vigezo hivyo anavyovihitaji na hawezi kuolewa ilimradi tu!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live