Lifestyle

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

SIL

EXCLUSIVE: Mzee ajenga nyumba juu mtini, ulaya ndogo, watu 50 wanakaa (+video)

Video Archive
Fri, 18 Jun 2021 Chanzo: millardayo.com

Team ya AyoTV imefika Jijini Mbeya Kata ya Kalobe kumfuata Mzee Samweli Marijani ambaye amewashangaza watu wengi baada ya kujenga nyumba yake juu mti wenye urefu wa zaidi ya mita sita .

Nyumba ya Mzee Marijani ina vyumba vitatu sebule yenye uwezo wa kuchukua watu 50 wakitazama TV, jiko pamoja na sehemu ya kulala

Na haya ndio maisha ya Mzee Marijani juu ya ghorofa yake juu ya mti, ni kweli tuna ndoto ya kujenga , je una ndoto kujenga nyumba yako juu ya mti.

Chanzo: millardayo.com