Menu ›
Burudani
Mon, 18 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchekeshaji Dullvani amefunguka sababu za kukaa kimya kwa muda mrefu pasipo na mfululizo wa kutengeneza maudhui mengi ya mitandao kama zamani.
Akizungumza na Manara TV kwenye usiku wa TANZANIA FILM Festival Wawards, Dullvani alisema kuna mambo ameyapitia hivi karibuni ambayo mambo hayo huko nyuma hakuwahi kuyapitia.
"Nimepitia magumu sana hivi karibuni kuna mtu nilimpa milioni ishirinini ( 20 ) aniletee gari akatokomea nayo mazima sikumuona tena ikanibidi nitafute pesa nyingine ninunue gari," alisema Dullvani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live