Menu ›
Burudani
Sat, 5 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
First Lady wa Lebo ya WCB, Msanii queenvdarleen amewaacha mashabiki wa burudani vinywa wazi baada ya kumpost mwanae wa kwanza ambae mara kadhaa amekuwa akimuelezea kuwa ni mtoto ambae hapendi kupostiwa kwenye mitandao ya Kijamii, hivyo leo ndio mara ya kwanza anampost.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Queen Darlin amempost mwanae akimtakia heri Ya siku ya kuzaliwa na kuandika;
"Kaka ROONEY ameniikubalia nimposti"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live