Menu ›
Burudani
Tue, 12 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Dudu Baya amesema Willy angetakiwa kufanya hivyo kwani na yeye ni msanii pia.
“Mimi ni mwanamuziki, yeye ni mwanamuziki na mimi ni baba yake hajawahi kunisikilizisha ngoma ina maana kawasilizisha baba zake wengine,” amesema.
“Kwa hiyo mama yake yeye ndio anajua baba zake wengine ndio maana kawasikilizisha wale, hajaja kuniimbia mimi hata freestyle,” Dudu Baya ameiambia Clouds TV.
Dudu Baya ameongeza kuwa toka ameanza muziki amewasaidia wasanii wengi kupitia project zake mbali mbali kama Dudu Baya Foundation na Dar Scandal na hadi sasa anafanya hivyo.
Loading...
Chanzo: bongo5.com