Menu ›
Burudani
Tue, 17 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Drake ameamua kumpa maua yake rapa Fabolous mapema kabisa, amesema asingekuwa hapa alipofikia leo pasina mchango wa huyu jamaa.
Kupitia insta story yake, Drizzy ame-share picha za Fabulous pamoja na Jarida fulani kisha kuambatanisha na Caption isemayo
“Nisingefika popote bila huyu jamaa, umenishawishi kwenye kila kitu kwangu.” aliandika Drizzy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live