Menu ›
Burudani
Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Drake alijikuta akipigwa faini ya ($230k) zaidi ya TSh. MILIONI 560 kwa kuzidisha muda wa Kutumbuiza kwa sheria za mji wa Detroit.
Drake alijikuta akipigwa faini ya ($230k) zaidi ya TSh. MILIONI 560 kwa kuzidisha muda wa Kutumbuiza kwa sheria za mji wa Detroit. Akiwa Jukwaani, Drizzy aliwaaambia mashabiki zake kwamba amelipishwa faini ya ($10k) zaidi ya TSh. Milioni 24 kwa kila Dakika ambayo aliitumia Jukwaani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live