Menu ›
Burudani
Mon, 5 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, Drake akiwa katika onesho lake la ‘Its All a Blur- Big as the What’ siku ya Jumamosi nchini humo aliwaeleza mashabiki wake kuwa hatoimba tena wimbo aliofanya na Rihanna ‘Work’ (2017) kwenye show zake.
Drake amedai hawezi kuimba wimbo huo labda mashabiki wamuimbie yeye, licha yakuwa mpaka sasa haijabainika kwa nini Drake amekataa kuimba wimbo huo aliofanya na #Rihanna.
Ikumbukwe wawili hao waliwahi kuhusishwa kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kabla ya Rihanna kuanzisha mahusiano na ‘rapa’ #ASAPRock. .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live