Menu ›
Burudani
Tue, 7 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dr Kumbuka Majaliwa anasema kuna penzi jipya mjini kati ya Staa wa Muziki wa Singeli Dulla Makabila na msanii aliyekuwa Lebo ya KondeGang Anjella.
Dr Kumbuka Majaliwa anasema kuna penzi jipya mjini kati ya Staa wa Muziki wa Singeli Dulla Makabila na msanii aliyekuwa Lebo ya KondeGang Anjella. Dr Kumbuka akiwa katika Mahojiano na TVE amesema kuwa wawili hao wanaishi nyumba moja yani Pika Pakua huko Tabata na ndio maana Dulla Makabila amekuwa mweupe sana kwani anahudumiwa vizuri na Anjella.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live