Menu ›
Burudani
Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Andre Romell Young Maarufu kama @drdre, Rapper na Mtayarishaji wa Muziki kutoka Marekani siku ya jana Februari 18, 2024 ametimiza umri wa miaka 59.
@drdre ni miongoni mwa Rappers wenye utajiri mkubwa Duniani ($500 Million), ni miongoni mwa watu wanaoheshimika sana katika sekta ya muziki Duniani kwani ana mchango mkubwa katika mageuzi ya muziki.
@drdre amehusika kwa asilimia 100 kuvumbua pamoja na kutangaza kipaji cha Eminem na 50 Cent kupitia Label yake ya "Aftermath Entertainment".
@drdre mpaka sasa ana tuzo saba za Grammy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live