Menu ›
Burudani
Sat, 26 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
MC na muigizaji maarufu Bongo Mahsein Awadhi 'Dr Cheni' ameeleza sababu ya kwa nini hakuwa MC wa harusi ya muigizaji mwenzake Jacqueline Wolper iliyofanyika wiki iliyopita.
Dr Cheni ametoa kauli hiyo kufuatia kuwa na uvumi kuwa, alishindwana naye kutokana na kumtajia dau kubwa ambalo lilimshinda muigizaji huyo.
"Hapana, hatujapishana kwenye dau lakini walinitafuta mimi nikiwa na harusi ya watoto wanne wa mmiliki wa mabasi ya Kilimanjaro," alisema Dr Cheni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live