Lifestyle

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

SIL

"Dogo" awachimba mkwara Apple kutumia Emoji yake

Emoji Apple "Dogo" awachimba mkwara Apple kutumia Emoji yake

Mon, 4 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mvulana mwenye umri wa miaka kumi aitwaye Teddy kutoka Peppard, Oxfordshire, ametuma ombi kwa kampuni ya Apple akiitaka kubadili emoji iliyovaa miwani inayofanana na yake aina ya 'nerd', akidai kuwa emoji hiyo ambayo pia ina meno marefu ya mbele inaudhi na kutusi.

Mvulana mwenye umri wa miaka kumi aitwaye Teddy kutoka Peppard, Oxfordshire, ametuma ombi kwa kampuni ya Apple akiitaka kubadili emoji iliyovaa miwani inayofanana na yake aina ya 'nerd', akidai kuwa emoji hiyo ambayo pia ina meno marefu ya mbele inaudhi na kutusi. Taddy amedai emoji hiyo inaleta dhana mbaya kuhusu watu wanaovaa miwani, hivyo basi, mvulana huyo amebuni upya emoji nyingine yakutumia huku akiwa na matumaini kuwa Apple itatumia toleo lake jipya la emoji yenye fremu nyembamba ili kuacha kuendeleza dhana potofu juu ya watu wanaovaa miwani kuonekana kama vichekesho.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live