Menu ›
Burudani
Sun, 19 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii nyota wa Bongo Fleva, Dogo Janja au Janjaro @dogojanjatz ni staa mkubwa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania na mpenzi wake @quenlinnatotoo wamepata mtoto mnamo Novemba 15, 2023.
Janjaro amethibitisha kupata mtoto wa kiume kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo amoposti picha za ujauzito wa mpenzi wake huyo na kuandika maneno haya;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live