Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Dj Khaled kuanza na Davido kuiteka Afrika

9820 Zwasasasasasas

Sun, 24 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Dj khaled kutokea nchini Marekani ana mipango ya kuutangaza zaidi muziki barani Afrika.



Dj huyo ambaye ameshafanya kazi na wasanii wakubwa Marekani amesema moja ya mipango yake ni kufanya kazi na wasanii wakubwa wa Afrika.

Hii ni baada ya kukutana na msanii wa Nigeria, Davido na kueleza hayo. Huenda Davido tayari yupo katika mipango ya Dj Khaled.



Dj Khaled ameweza kufanya kazi na wasanii wakubwa Marekani kama Rihanna, Bryson Tiller, Justin Bieber, Lil Wayne, Demi Lovat, Jay Z na Future.

Loading...
Chanzo: bongo5.com