Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa' kutoka nchini Marekani , Dj Khaled aomba watu wambebe ili asikanyage chini kutokana na kuogopa kuchafua viatu vyake aina ya Jordan
Khaled aliomba watu hao wambebe wakati akielekea jukwani kutumbuiza na kisha wamrudishe kwenye gari baada ya kumaliza kupiga show.
Ni msanii gani Bongo anaweza kufanya hivi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live