Ikiwa zimepita siku chache toka muimbaji wa Bongo Fleva Heri Muziki kuachia ngoma yake aliyowashirikisha Mwana FA na Mr Paul “Waambie” imeonekana kama mtangazaji Diva thee bawse ambaye ni mpenzi wake kuamua kutoa kipande cha Heri Muziki katika wimbo huo na kuweka sauti yake.
Kutokana na hiki alichokifanya Diva thee Bawse lakini wimbo huo kimetafsirika kama bifu kati yake na Heri Muziki baada ya penzi lao kuripotiwa kuyumba siku chache zilizopita, hiyo ni baada ya kufanya interview na Ayo Tv na wote kukiri hivyo, Diva katika wimbo wa ‘Waambie’ inadaiwa katoa mchango mkubwa, hivyo kukata kipande cha Heri Muziki kunaonesha wazi kuwa ana haki na wimbo huo.
Unaweza kuusikiliza wimbo wenyewe hapa
VIDEO: “Msiba huu ni mkubwa kwangu na ni pigo”- Diamond Platnumz