Menu ›
Burudani
Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa Wasafi FM Diva The Bawse ametangaza kufunga ndoa ya Kikristu na mwanaume mwengine.
Mtangazaji wa Wasafi FM Diva The Bawse ametangaza kufunga ndoa ya Kikristu na mwanaume mwengine. Kwa mujibu wa Diva, amefanya mafundisho ya ndoa kwenye kanisa la King Dom Embassy Church.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live