Menu ›
Burudani
Sat, 17 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mtangazaji Diva ameendela kusisitiza kuwa ataolewa kwa mahari ni milioni 500 na mwanaume anayejua lugha ya kingereza.
Diva ambaye alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii wa muziki Heri Muziki ametoa kauli hiyo kwa kusisitiza kuhusu mahari yake na mwanaume anayemtaka mwaka huu. Kupitia mtandao wa Instagram Diva ametoa ameandika;
Kunioa Ni Milioni 500 …. set that Joke aside
Chanzo: bongo5.com