Menu ›
Burudani
Fri, 13 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa kipindi cha #Lavidavi @divatheebawse ameweka wazi kuwa kwa sasa yupo single yani hayupo kwenye mahusiano na mtu yoyote yule.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa ni rasmi yeye ni "Single Lady''
Hii inaonesha kuwa #Diva na aliyekuwa mumewe @sheikh_abdulrazak_salum hawapo pamoja kwa sasa (ndoa yao imevunjika).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live