Menu ›
Burudani
Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuwa na story nyingi kuhusiana na mtangazaji maarufu nchini Diva kutobadilisha ‘wigi’, hatimaye amevunja ukimya na kuweka sawa jambo hilo, wakati akifanyiwa interview na moja ya chombo cha habari na kueleza kuwa ‘ana mawigi’ zaidi ya mia moja.
Diva amesemaa,
“Ni kwamba ninapenda nywele zenye rangi moja, nina mawigi zaidi ya mia moja na ukiangalia yanafanana hivyo hvyo, mtu akiliona anaona wigi hilo hilo limekakamaa, kati ya vitu nina-spend a lot of money ni wigs mimi nanunua wigs hata la milioni tano, napenda ma-wigs ninayo mengi kuliko sufuria za kupikia”.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live