Menu ›
Burudani
Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muongozaji wa Filamu kutoka Hollywood (Director) Christopher Nolan, anakadiriwa kupata kiasi cha $72M zaidi ya Tsh Bilion180 kwa kuiongoza filamu ya 'OPPENHEIMER'.
Kwa mujibu wa jarida la Forbes inataja kiasi hicho kuwa ni mojawapo ya pesa nyingi zaidi kuwahi kulipwa kama muongozaji wa filamu.
Nolan amesimama kama muongoazaji katika filamu mbalimbali bora ikiwemo "Dunkirk 2017, Oppenheimer2023, DarkNight 2008, Momento 2000, Inception 2010 "na filamu nyingine nyingi.
Je, Filamu gani kutoka kwake umeshaitizama na umeikubali zaidi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live