Menu ›
Burudani
Fri, 25 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kama ulikuwa bado huaminiamini kama staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amezama kwenye penzi zito na msanii wake Zuhura Othman 'Zuchu' basi sasa ondoa mashaka, Diamond anamuta mrembo huyo mke.
Diamond ameyasema hayo usiku wa kuamkia Novemba 25, 2022 alipokuwa akitambulisha moja ya ngoma zinazopatikana kwenye albamu ya Juma Jux.
"Nakwenda kuitambulisha nyimbo hii mpya ya Jux amemshirikisha mke wangu inaitwa Nidhibiti," alisema Diamond.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live