Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa @mashalovietz anasema @diamondplatnumz ndio mwanaume wa kwanza kwa @officialzuchu na ndio maana inakuwa ndumu sana kwa #Zuchu kumuacha mwanaume huyo.
Kwa mujibu wa @mashalovietz anasema @diamondplatnumz ndio mwanaume wa kwanza kwa @officialzuchu na ndio maana inakuwa ndumu sana kwa #Zuchu kumuacha mwanaume huyo. Masha anasema alipoona #Zuchu ameandika ujumbe wa kumuacha #Diamond aliumia sana hali iliyompelekea kuto kula kwa siku 2 mpaka kupelekwa Hospital kwaajili ya vidonda vya tumbo lakini anashukuru Mungu baada ya wapenzi hao kurudiana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live