Wasanii @diamondplatnumz na @officialzuchu wametajwa kuwania tuzo za Trace @traceawardsandfestival zinazotarajiwa kufanyika 'Oktoba 21, 2023' Kigali nchini Rwanda huku wawili hao wakiwa wanachuana katika kipengele kimoja.
@diamondplatnumz na @officialzuchu wanachuana kupitia kipengele cha 'Best Eastern African Artist of the Year' huku wakichuana na wasanii wengine mbao ni Azawi @azawiofficial kutoka Uganda, Nadia Mukami @nadia_mukami kutoka Kenya , Bruce Melodie @brucemelodie kutoka Rwanda na Khaligraph Jones @khaligraph_jones kutoka Kenya.
Jinsi ya kuwapigia Kura Diamond Na Zuchu nenda kwenye Bio ya @traceawardsandfestival ili ushindi tuurudishe nyumbani.