Menu ›
Burudani
Tue, 10 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kufungiwa kwa video ya Wimbo wa Mtasubiri wa Diamond Platnumz aliomshirikisha msanii wake, Zuchu kwenye Mtandao wa YouTube kumeendelea kuzua gumzo.
Hii ni baada ya Zuchu kubainisha kuwa, hawakupewa taarifa na Baraza la Sanaa la Taifa kuhusu ukakasi kwenye video hiyo, badala yake walishangaa tu kusikia imefungua.
Hata hivyo, bado video hiyo inaendelea kupepea hewani kwenye YouTube na mitandao mingine yote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live