Ikiwa Machi 20, 2021 aliekuwa Rais wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amefanyiwa ibada na kuagwa na watu mbalimbali wakiwemo Viongozi, Wasanii ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam sasa hapa Ayo TV & Millardayo.com ilifanikiwa kunasa picha ikiwaonesha Majizo, Diamond wakaa siti moja huku Harmonize nyuma yao.
Ikiwa Machi 20, 2021 aliekuwa Rais wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amefanyiwa ibada na kuagwa na watu mbalimbali wakiwemo Viongozi, Wasanii ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam sasa hapa Ayo TV & Millardayo.com ilifanikiwa kunasa picha ikiwaonesha Majizo, Diamond wakaa siti moja huku Harmonize nyuma yao.