Tamasha la Afro Nation imetoa majina ya mastaa watakaotumbuiza katika tamasha hilo huko Ureno ambapo Staa wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ndio msanii pekee kutoka Afrika mashariki atakayepanda kwenye Main stage akiwa na Rema, Asake, Omah Lay, Flavour, Sey Vibez Nk.
Tamasha la Afro Nation imetoa majina ya mastaa watakaotumbuiza katika tamasha hilo huko Ureno ambapo Staa wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ndio msanii pekee kutoka Afrika mashariki atakayepanda kwenye Main stage akiwa na Rema, Asake, Omah Lay, Flavour, Sey Vibez Nk. Tamasha hilo linatarajiwa kuanza June 26-28, 2024.