Waandaji waTamasha la @afronation tayari wameachia orodha ya wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha hilo Nchini Ureno kwenye Phase ya pili huku @diamondplatnumz akiwa ni msanii pekee kutoka Tanzania aliyetajwa huku Rapa kutoka Nchini Marekani @nickiminaj akiwa kati ya wasanii watakaotumbuiza pia.
Waandaji waTamasha la @afronation tayari wameachia orodha ya wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha hilo Nchini Ureno kwenye Phase ya pili huku @diamondplatnumz akiwa ni msanii pekee kutoka Tanzania aliyetajwa huku Rapa kutoka Nchini Marekani @nickiminaj akiwa kati ya wasanii watakaotumbuiza pia. Wasanii wengine watakao tumbuiza ni pamoja na Rema, Asake, Flavour, Musa Keys, Omah Lay, Focalistic, Major League Djz na wengine kwenye list ya watumbuizaji. Tamasha hilo litaanza kufanyika Tarehe 26#entertainmentchambers.