Menu ›
Burudani
Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chawa na Mtangazaji wa Wasafi FM, Juma Lokole amesema, ipo siku Diamond atawasapraiz Watanzania kwa ndoa yake na Zuchu.
Lokole amesema, Diamond hajiwezi asilani kwa Zuchu na ndio maana ana rakriban miezi sita anaangusha gari nyumbani kwa Zuchu.
"Diamond atawasapraizi mashabiki siku moja mimi nawaambia, hajiwezi kwa Zuchu Diamond," alisema Lokole.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live