Menu ›
Burudani
Tue, 22 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Diamond Platnumz ni mfanyabiashara ambaye anatumia kila fursa inayopita mbele yake bila ya kuogopa chochote. Msanii huyo ametangaza ujio wa tamasha kubwa jipya la Wasafi Festival ambalo litafanyika mwaka huu.
Mashabiki wengi wa muziki wamekuwa wakitamani kuona tamasha kama hilo kutoka kwa wasanii hao wa WCB, lakini bahati nzuri kupitia mtandao wa Instagram, Diamond amethibitisha ujio wa tamasha.
“Kama Naiona hiyo #WasafiFestival Huu Mwaka Sijui hata tuanzie Mkoa gani???
Chanzo: bongo5.com