Menu ›
Burudani
Tue, 18 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mfalme wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametangaza kuwa mwezi ujao, ataachia kolabo za hatari alizowashirikisha wasanii kutoka Marekani.
Kupitia Insta Story yake katika Instagram, Diamond ameweka ujumbe huo wa hatari kwa wapenda burudani.
“Agosti nina kolabo 2 nzito za Kimarekani kwa ajili yenu…trust me we good, Mungu ni mwema na Bongo Fleva itamaliza huu mwaka kwa heshima,” aliandika Diamond
Chanzo: www.tanzaniaweb.live