Menu ›
Burudani
Mon, 15 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa Bongo fleva @diamondplatnumz,ameshinda tuzo ya msanii bora wa mwaka kwa ujumla ( overall artist of the year) katika Tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards (EAEA) zilizofanyika usiku wa kuamkia leo nchini Kenya.
Mwanamuziki wa Bongo fleva @diamondplatnumz,ameshinda tuzo ya msanii bora wa mwaka kwa ujumla ( overall artist of the year) katika Tuzo za East Africa Arts Entertainment Awards (EAEA) zilizofanyika usiku wa kuamkia leo nchini Kenya. Diamond ameshinda kipengele hicho akiwa na ngoma zilizo hits kama ,"Shu!", "Achii", "My baby" na "Enjoy".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live