Kwa Mujibu wa Page ya Africa Fact Zone hawa ndio wasanii wa Afrika wanaolipwa Pesa nyingi zaidi kwa Show ambapo Wizkid Burna Boy na Rema wanaongoza kila mmoja analipwa zaidi ya Tsh.Bilioni 2.
1. Wizkid, Burna Boy, Rema - $1 million Zaidi ya Tsh.Bilioni 2 (kila mmoja)
4. Davido - $600,000- Tsh.Bilioni 1.5
5. Asake, Olamide - $500,000 - Tsh.Bilioni 1.3 (Kila mmoja)
7. Black Coffee - $300,000 - Tsh.Milioni 752.2
8. Kizz Daniel - $200,000 - Tsh.Milioni 501.4
9. Amr Diab - $170,000 - Tsh.Milioni 426.2
10. Shatta Wale - $120,000 - Tsh.300+
11. Diamond Platinumz, Tiwa Savage - $100,000 -Tsh.Milioni 205.7 (Kila mmoja)
13. Yemi Alade - $75,000- Tsh.Milioni 188
14. Flavour - $70,000- Tsh.Milioni 175+