Menu ›
Burudani
Mon, 11 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati nyota wa muziki Bongo Fleva, Diamond Platnumz kutumbuiza Ruangwa, akaamua kuja na ubunifu wa aina yake, Simba apanda jukwaani na majeneza.
Mpango mzima ulikuwa ni kwenye Wasafi Festival jukwaa ambalo lilipambwa na wasanii mbalimbali akiwemo mpenzi wake Zuchu na Mbosso.
Unaupa asilimia ngapi huo ubunifu wa Diamond?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live