Menu ›
Burudani
Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Nguli barani Afrika, Diamond Platnumz amefunguka kuwa kwenye Account yake ya Benki kuna kiasi cha shilingi laki moja na elfu ishirini tu za kitanzania.
Diamond Platnumz ameeleza hayo wakati akijibu swali lilioulizwa na Manara TV kuwa "Account yako ya benki ina shilingi Ngapi?"
Vipi kwa upande wako, unaamini kwamba Diamond Platnumz kweli ana laki moja na elfu ishirini tu benki?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live