Menu ›
Burudani
Mon, 23 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki Rayvanny tayari ameshaachia video ya wimbo wa Nitongoze aliomshirikisha Diamond Platnumz.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa, Diamond ameweka wazi kuwa Rayvanny amewekeza pesa za kutosha katika video hiyo.
"Nitongoze video by Rayavanny Fet Diamond out now link in @rayvanny...ele umewekeza kwenye video Chui, i'm super proud to be part of this project," aliandika Diamond kwenye Insta Story.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live